• Login
    View Item 
    •   Repository Home
    • Research Papers
    • School of Education and Social sciences
    • Department of Humanities and Languages
    • View Item
    •   Repository Home
    • Research Papers
    • School of Education and Social sciences
    • Department of Humanities and Languages
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Ushairi wa Abdilatif Abdalla Katika Kubainisha Utamaduni wa Waswahili

    Thumbnail
    View/Open
    Full-text (143.7Kb)
    Date
    2018
    Author
    Maitaria, Joseph Nyehita
    Wafula, Richard Makhanu
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Makala haya yanafafanua maudhui yaliyomo katika tungo za mashairi ya Abdilatif Abdalla kwa kuzingatia namna masuala ya utamaduni waWaswahili yanavyowasilishwa. Masuala hayo yanahusu namna wenyeji hao wanavyotangamana na wanavyoshughulikia maisha yao kwa ujumla. Kadhalika, ubainishaji wa vipengele hivyo vimewasilishwa kwa kuzingatia taijriba ya mtunzi kama mmoja katika jamii hiyo. Mashairi hayo yanapozingatiwa, inabainika kuwa; hisi za mtunzi zimedhibitiwa kwa lugha teule ya mafumbo inayojikita katika zaidi katika ‘lugha’ au ‘lafudhi’ yake ambayo ni lahaja ya Kimvita. Katika muktadha huu, jumbe hizo zinahitaji fasiri na maelezo kutokana na utamaduni wa mtunzi. Kwa mapana, mashairi hayo yana mwangwi unaogusia historia yataifa lake (hasa katika miaka ya baada ya 1963 nchini Kenya). Kwa maana hii, ushairi wa Abdilatif Abdalla unaweza kwa kihifadhi na kibainishaji cha vielelelzo vya utamaduni na uhalisi wa maisha ya jamii ya mtunzi. Katika kushughulikia uhusiano uliopo kati ya fasihi na utamaduni, makala haya yanaangazia baadhi ya mifano ya mashairi yaliyohifadhiwa katika Diwani ya Sauti ya Dhiki (1973). Mwishowe, inapependekeza namna mashari teule ya Kiswahili yanavyoweza kuwa hifadhi ya ‘viashiria’ vya ‘viishara’ vyatamaduni asilia katika jamii ya sasa.
    URI
    https://karuspace.karu.ac.ke/handle/20.500.12092/2283
    Collections
    • Department of Humanities and Languages [44]

    Karatina University copyright © 2017-2019  | Powered by DSpace
    Contact Us | Send Feedback | OAI-PMH Compliant
    Theme by Systems Librarian
      

     

    Browse

    All of RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Statistics

    View Usage Statistics

    Karatina University copyright © 2017-2019  | Powered by DSpace
    Contact Us | Send Feedback | OAI-PMH Compliant
    Theme by Systems Librarian